Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu
akikata utepe kuzindua kituo na kiwanda cha kuongeza thamani mazao ya
nafaka cha Ititi kinachomilikiwa na vikundi vya akina mama VICOBA wa
wilaya ya Singida, kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema
Nchimbi na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa shirika la UN women
Tanzania Maria Karadenizli. |
0 comments:
Post a Comment