Wakurugenzi,
Wakuu wa Vitengo na watumishi wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia
Wazee na Watoto, wakifuatilia kwa makini maelezo ya Katibu Mkuu wa Wizara, Bibi
Sihaba Nkinga (hayupo pichani) wakati akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Watumishi
wa Wizara uliofanyika katika Ukumbi wa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam,
ikiwa ni sehemu ya kuhitimisha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika
Sekta ya Maendeleo ya Jamii.(Tarehe 24/6/2016).
|
Tuesday, 28 June 2016
Tuesday, June 28, 2016
1 comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Great
ReplyDelete