Wednesday, 1 June 2016


Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii ,Jinsia ,Wazee na Watoto Bibi S.Nkinga akipokea vifaa vya Baraza la taifa  la Mashirika yasiyo yakiserikali kutoka kwa Kaimu mkurugenzi mkuu wa GEPF ,Dar es salaam Tarehe 1/6/2016
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii ,Jinsia ,Wazee na Watoto Bibi S.Nkinga akipokea vifaa vya Baraza la taifa  la Mashirika yasiyo yakiserikali kutoka kwa Kaimu mkurugenzi mkuu wa GEPF ,Dar es salaam Tarehe 1/6/2016

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii ,Jinsia ,Wazee na Watoto Bibi S.Nkinga akikabidhi vifaa vya Baraza la taifa  la Mashirika yasiyo yakiserikali kwa Bwana, Djax Diria ambae ni Mjumbe wa Bodi anae wakilisha Baraza la Taifa,Dar es salaam Tarehe 1/6/2016

Mwenyekiti wa Bodi  ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Bibi Rukia Masasi  akitoa shukrani mara baada ya kukabidhiwavifaa vya Baraza la taifa  la Mashirika yasiyo yakiserikali,Dar es salaam Tarehe 1/6/2016


Kutoka kulia Kaimu Mkurugenzi wa Mashirika yasiyo yakiserikali Bwana Baraka Leonard pamoja na Bwana Aloys Ntukamazina ambaye ni Meneja masoko wa  GEPF wakimsikiliza  Mwenyekiti wa Bodi  ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Bibi Rukia Masasi  akitoa shukrani mara baada ya kukabidhiwavifaa vya Baraza la taifa  la Mashirika yasiyo yakiserikali,Dar es salaam Tarehe 1/6/2016

0 comments:

Post a Comment