Naibu
Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb) akisaini kitabu
cha wageni katika Ofisi ya Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, jijini Dar
es Dar es salaam kabla ya kutunuku vyeti wasichana 22 waliohitimu mafunzo ya
mbinu na stadi za ujasiriamali na ususi wa nywele, tarehe 20/08/2015 |
0 comments:
Post a Comment