Wednesday, 5 August 2015

Bodi ya uratibu wamashirika yasiyo ya kiserikali imekutana na wadau mbalimbali wa mashirika yasiyo ya kiserikali Mkoani Tabora,Akizungumza  Katibu wa Bodi hiyo Bwana Marcel Katemba amewataka mashirika hayo  kufanya kazi kwa pamoja na kushirikiana wao kwa wao. Pia Katibu aliiomba baadhi ya mashirika Ambayo hayajafikisha taarifa zake na kulipia ada kwa Msajili  waweze kupeleka taarifa mapema iwezekanavyo.
Bwana Marcel Katemba (kulia) akizungumza na wadau akiwa pamoja na mwenyekiti wa Bodi ya Uratibu wa mashirika yasiyo ya kiserikali
Bwana Baraka ambaye ni sekretarieti wa Bodi ya uratibu wa Mashirika yasyo ya kiserikali akitoa ufafanuzi wa maswala mbali mbali yanayohusu sheria  
Wadau mbalimbali walioko mkoani  Tabora wakisikiliza kwamakini wakati katibu wa  Bodi ya Uratibu wa mashirika yasiyo ya kiserikali


0 comments:

Post a Comment