Tuesday, 28 July 2015

Ofisi za Youth and Women Organization zilizopo mkoani Tabora walipo pata ugeni kutoka katika Bodi Ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali mapema leo mchana
Msemaji wa Youth and Women Organization alipokua akititoa taarifa fupi kuhusu shirika lake mbele ya  wajumbe wanaoratibu mashirika yasiyo yakiserikali hapa nchini
Bwana Mbilinyi (Sekretarieti) akitoka katika ofisi za Youth and Women Organization mara baada ya ukaguzi kufanika katika shirika hilo

Msemaji wa Shirika lisilo la kiserikali lilipo mkoani Tabora yaani TASEDE alipokua akiongea mbele ya wajumbe wa Bodi ya Uratibu Wamashirika yasiyo yakiserikali Walipo tembelea ofisi zao mapema leo JionI
Mwenyekiti wa Shirika lisilo la kiserikali lilipo mkoani Tabora  (TASEDE ) alipokua akiongea mbele ya wajumbe wa Bodi ya Uratibu Wamashirika yasiyo yakiserikali Walipo tembelea ofisi zao mapema leo Jioni

0 comments:

Post a Comment