Bwana.Baraka Leonard (Secretarieti) Akifuatilia kwa makini kikao kinachoendelea hivi sasa hapa mkoani Singida kwenye ukumbi wa chuo cha maendeleo ya wananchi |
Dkt.Aisha Kigoda Kushoto(mjumbe) pamoja na Bwana Ismail A.Suleimani wakifuatilia kikao kinachoendelea hapa Mkoani Singida katika ukumbi wa chuo cha maendeleo ya wananchi |
Bibi Happy Msimbe (sekretarieti) pamoja na Bw. Rweyemamu wakifuatilia kwa makini maelezo yaliyokua yakitolewa na katibu wa Bodi ya uratibu wa mashirika yasiyo ya Kiserikali |
0 comments:
Post a Comment