Friday, 29 January 2016

Bwana Marcel Katemba,(katibu) Bodi  ya Uratibu wa Mashirika yasiyoya Kiserikali akitoa maelezo mbele ya wadau walioweza udhuria kikao kilicho fanyika hapa mjini singida
Wajumbe wa  Bodi ya Uratibu Mashirika yasiyo ya Kiserikalia walipokua kwenye mkutano wa pamoja na wadau  mkoani singida
Bibi. Happy Msimbe (sekretarieti) wa Bodi ya uratibu Mashirika yasiyo ya kiserikali akitoa ufafanuzi wa maswala mbali mbali yanayohusu sheria


0 comments:

Post a Comment