Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya
Jamii, Jinsia na Watoto Bibi Sihaba Nkinga (wa pili kutoka kushoto) akiwa
katika Tamasha la 13 la AZAKi lililoandaliwa na shirika la the Foundation For
Civil Society na kufanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es
salaam tarehe 1/12/2015. Wengine ni Bw. Julius Mbilinyi Kaimu Mkurugenzi wa
Uratibu wa NGOs (wa kwanza kushoto), Bibi Stigmata Tenga Rais wa Shirika la the
Foundation For Civil Society (wa tatu kutoka kushoto) na Bw. Alfred Myenzi
Mkurugenzi wa shirika la HAKI ARDHI (wa mwisho kutoka kushoto).
|
0 comments:
Post a Comment