Monday, 21 September 2015

Wajumbe wa   Bodi ya mashirika yasiyo yakiserikalia walipokua kwenye mkutano wa pamoja na wadau  mkoani Kigoma Tarehe 17.9.2015
Bwana Baraka ambaye ni sekretarieti wa Bodi ya uratibu wa Mashirika yasiyo ya kiserikali akiandika baadhi ya maswali yaliyoulizwa  na Baadhi wadau yanayohusu sheria kwenye ukumbi wa mkuu wa mkoa Kigoma

Makamu Mwenyekiti wa Bodi  ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Bibi, Mary Luwilo alipokua akizungumza na wadau walioko mkoa wa Kigoma
Bwana Baraka ambaye ni sekretarieti wa Bodi ya uratibu wa Mashirika yasyo ya kiserikali akitoa ufafanuzi wa maswala mbali mbali yanayohusu sheria

Bibi Idda Kombe kushoto (Sekretariate) Pamoja na  Bwana Victa (kulia) walipokua kwenye kwenye mkutano na wadau Mkoani Kigoma 
Mdau wa Shirika lisilo la kiserikali Mkoani Kigoma Akiuliza Swali kwa Wajumbe wa Bodi  ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali

0 comments:

Post a Comment