Mjumbe wa bodi ya uratibu wa mashirika yasio yakiserikali Ndugu Baraka akitoa maelezo mafupi juu ya baadhi ya mashirka yasio yakiserikali yanavyotumia vibaya usajili wao |
Wajumbe wa Bodi ya uratibu wa mashirika yasiyo yakiserikali wakimsikiliza mmoja wa wajumbe akifafanua vizuri juu ya sheria za usajili |
Mjumbe wa Bodi ya uratibu wa mashirika yasiyo yakiserikali akiongea na wadau wa Mkoa wa Manyara |
Wadau wa mashirika yasio ya kiserikali wakisikiliza kwa makini katika kikao kinacho endelea hapa mkoani Manyara |
Mdau wa shirika lisilo lakiserikali akiuliza swali katika Bodi ya uratibu wa mashirika yasiyo yakiserikali hapa mkoani manyara |
0 comments:
Post a Comment