Wednesday, 13 May 2015

Bodi ya uratibu wa NGO mapema leo asubuhi imeenza  kufanya kikako chake cha 35 mkoani Manyara,ambapo mkutano huo umeudhuriwa na wajumbe  kutoka mikoa mbali mbali nchini Tanzania.
Mwenyekiti wa Bodi kuu ya uratibu wa Mashirika yasiyo ya kiserikali Bibi, Rukia Masasi kushoto pamoja na Bwna,Marcel S.Katemba Kulia ambaye ni Katibu wa Bodi kuu ya uratibu katika mkutano  wa 35 unaofanyika Mkoani Manyara hii leo
Wajumbe wa  Bodi ya Uratibu wa Mashirika yasiyo ya kiserikali wakifwatilia kwa umakini katika kikao hichi cha 35 kinacho fanyika Mkoani Manyara.
Ndugu.Baraka Leonard (mjumbe) Akifwatilia kwa makini  kikao kinachoendelea hivi sasa hapa Mkoni Manyara
Dkt.Aisha Kigoda Kulia pamoja na Bwana Ismail A.Suleimani wakifwatilia kikao hichi kinachoendelea hapa Mkoani Manyara
Bibi. Tausi Mattaba Kulia pamoja na Bibi Idda Kombe wakifwatilia kwa makini kikao cha 35 cha Bodi ya Uratibu wa Mashirika yasiyo ya kiserikali
Bibi Mary F. luwilo ambaye ni Makamu mwenyekiti wa Bodi ya Mashirika yasio ya kiserikali akifwatilia kwamakini taarifa iliyoandikwa kwenye faili.

0 comments:

Post a Comment