Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo
ya Jamii ,Jinsia ,Wazee na Watoto Bibi S.Nkinga akifungua kongamano la wadau
wanao jadili uwezeshaji wa Mpango
Kazi
wa Kitaifa wa Kuzuia Ukatili dhidi ya Wanawake na watoto nchini Tanzania
unaofanyika Bahari Beach Hotel- Ledger
Plaza Kunduchi ,Dar es salaam Tarehe 30/5/2016
|
0 comments:
Post a Comment